Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,272
Madaktari wa JF habari zenu?
Naomba msada wa Hili. Katoto kangu ka miaka 5 kanaumwa tumbo tangia juzi juma pili jioni. Alianza kulalamika tumbo linamuuma hadi kulia halafu akawa ana joto kali sana la mwili. Pia alikuwa anaharisha Haja kubwa yenye milenda milenda yenye harufu kali sana. Wakati mwingine Haja kubwa ilikuwa inatoka bila control na anashindwa kuizuia sababu ya wepesi wa Haja yenyewe. Badae akalalamika kichwa kinamuuma sana.
Dawa alizotumia so far:
Alipata cephalexin suspension 10mls daily kwa ajili ya infection
Akapatiwa paracetamol kwa ajili ya kushusha homa
Akapatiwa na dawa Mseto ya malaria 2 Mara 2 (dozi ya mtoto).
Baada ya kutumia hizi dawa japo hajamaliza:
Halalamiki sana kuumwa kichwa
Homa pia imepungua sana (joto linapanda kidogo sana)
Na kuharisha choo chenye harufu kali kumeisha japo choo ni kilaini na bado kina milenda.
Kwanini nimewaomba ushauri:
Bado anajisaidia milenda ya rangi ya kijani na njano ambayo kila anapojiskia kujisaidia tumbo linakamua kwa maumivu makali sana sana na hiyo Haja yenye milenda haitoki haraka hadi analia. Pia Hali hii hujitokeza kila anapokula chochote hata Kama ni maji.
Wakuu naomba mnisaidie maana nimestaki.
Nimesafiri kijijini ambapo huduma za afya sio Kama mjini.
Natanguliza shukrani zangu kwa mtakaoguswa kunishauri.
Naomba msada wa Hili. Katoto kangu ka miaka 5 kanaumwa tumbo tangia juzi juma pili jioni. Alianza kulalamika tumbo linamuuma hadi kulia halafu akawa ana joto kali sana la mwili. Pia alikuwa anaharisha Haja kubwa yenye milenda milenda yenye harufu kali sana. Wakati mwingine Haja kubwa ilikuwa inatoka bila control na anashindwa kuizuia sababu ya wepesi wa Haja yenyewe. Badae akalalamika kichwa kinamuuma sana.
Dawa alizotumia so far:
Alipata cephalexin suspension 10mls daily kwa ajili ya infection
Akapatiwa paracetamol kwa ajili ya kushusha homa
Akapatiwa na dawa Mseto ya malaria 2 Mara 2 (dozi ya mtoto).
Baada ya kutumia hizi dawa japo hajamaliza:
Halalamiki sana kuumwa kichwa
Homa pia imepungua sana (joto linapanda kidogo sana)
Na kuharisha choo chenye harufu kali kumeisha japo choo ni kilaini na bado kina milenda.
Kwanini nimewaomba ushauri:
Bado anajisaidia milenda ya rangi ya kijani na njano ambayo kila anapojiskia kujisaidia tumbo linakamua kwa maumivu makali sana sana na hiyo Haja yenye milenda haitoki haraka hadi analia. Pia Hali hii hujitokeza kila anapokula chochote hata Kama ni maji.
Wakuu naomba mnisaidie maana nimestaki.
Nimesafiri kijijini ambapo huduma za afya sio Kama mjini.
Natanguliza shukrani zangu kwa mtakaoguswa kunishauri.