0762713479
Member
- Oct 10, 2017
- 8
- 1
Mimi ni mwanafunzi katika chuo cha ualimu Tabora mwaka wa kwanza ila nimekosa ada laki tatu. Nilikuwa nadaiwa laki tano ila nimeangaika mtaani nikapata laki mbili. Nisaidieni jamani maana hali mbaya hapa chuoni.
Jinsia please
Mimi ni kijana
omba shamba shule ulime mboga mboga uuze ulipe ada. mi nitakuchangia hela ya pembejeo. sio vizuri kuomba samaki omba ujuzi na nyavu ili uvue samaki vizuri.Mimi ni mwanafunzi katika chuo cha ualimu tabora mwaka wa kwanza ila nmekoswa ada laki tatu. Nilikuwa nadaiwa laki tano ila nimeangaika mtaani nikapata laki mbili. Nisaidieni jamani maana hali mbaya apa chuoni
Nilipitia hali kama yako pia. NilichofanyaMimi ni mwanafunzi katika chuo cha ualimu tabora mwaka wa kwanza ila nmekoswa ada laki tatu. Nilikuwa nadaiwa laki tano ila nimeangaika mtaani nikapata laki mbili. Nisaidieni jamani maana hali mbaya apa chuoni