Naomba msaada kwenye Iine ya Halotel.

Naomba msaada kwenye Iine ya Halotel.

Mu7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
1,635
Reaction score
1,951
Hivi karibuni nimesajili line mpya ya Halotel lakini kwa bahati mbaya nikapoteza kibati chake chenye PUK Number. Line za sasa za Halotel zinakuja zikiwa locked na PIN CODE. Sasa mtoto wangu amechezea simu akijaribu kuifungua mpaka imelock na kudai PUK. PUK sina na namba ya line pia siikumbuki sababu ni mpya na sikuitunza popote.

Nafanyaje ili walau niijue namba ya line hii?
 
Hivi karibuni nimesajili line mpya ya Halotel lakini kwa bahati mbaya nikapoteza kibati chake chenye PUK Number. Line za sasa za Halotel zinakuja zikiwa locked na PIN CODE. Sasa mtoto wangu amechezea simu akijaribu kuifungua mpaka imelock na kudai PUK. PUK sina na namba ya line pia siikumbuki sababu ni mpya na sikuitunza popote.

Nafanyaje ili walau niijue namba ya line hii?
Kama ulimaki namba ya ndg,jamaa uliyempigiya mwambiye akutajiye halafu wapigiye halntel waombe puk ya namba yako watakupa
 
Kama una line nyingine..piga *106#..chagua namba 2 namba za simu ulizosajili..kisha ingiza namba yako ya nida..itakuonyesha namba zote ulizosajili kupitia NIDA yako.
 
Hivi karibuni nimesajili line mpya ya Halotel lakini kwa bahati mbaya nikapoteza kibati chake chenye PUK Number. Line za sasa za Halotel zinakuja zikiwa locked na PIN CODE. Sasa mtoto wangu amechezea simu akijaribu kuifungua mpaka imelock na kudai PUK. PUK sina na namba ya line pia siikumbuki sababu ni mpya na sikuitunza popote.

Nafanyaje ili walau niijue namba ya line hii?
nipe namba yako pm nikutumie puk
 
Kama una line nyingine..piga *106#..chagua namba 2 namba za simu ulizosajili..kisha ingiza namba yako ya nida..itakuonyesha namba zote ulizosajili kupitia NIDA yako.
Nimejaribu haileti majibu
 
Back
Top Bottom