KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 367
- 139
Ninatafuta taarifa za vitu hivi kwani nimeamua kuwa mjasiliamali zaidi kuliko kufikiria ajira.
1. Hapa Tanzania ni wapi wanalima kwa wingi Vitunguu Saumu, Dengu na Ngano na bei pia kama inafahamika nitashukuru (kwa kilo, gunia au Tani).
2.Jina la kiswahili la zao hili nimeshindwa kulipata, kama kuna yeyote anajua anaisaidie-Flax Seed/ Lin seeds.
3.Natafuta wapi wanauza Photocopier machine Mpya au Used ila kwa bei nafuu. BMTL Nimecheck nao bei zao ni kifo nimeshinda, na ninahitaji machine yenye document feeder 15-20 Copies/Minute
4. Nafatuta wapi wanauza A/C (Split unit) Used au Mpya size ya 12bt, Authorized dealer wa LG pale Posta ya Zamani bei zao kubwa sana.
Naombeni msaada wenu wana Jamii Forums.
Asanteni.
1. Hapa Tanzania ni wapi wanalima kwa wingi Vitunguu Saumu, Dengu na Ngano na bei pia kama inafahamika nitashukuru (kwa kilo, gunia au Tani).
2.Jina la kiswahili la zao hili nimeshindwa kulipata, kama kuna yeyote anajua anaisaidie-Flax Seed/ Lin seeds.
3.Natafuta wapi wanauza Photocopier machine Mpya au Used ila kwa bei nafuu. BMTL Nimecheck nao bei zao ni kifo nimeshinda, na ninahitaji machine yenye document feeder 15-20 Copies/Minute
4. Nafatuta wapi wanauza A/C (Split unit) Used au Mpya size ya 12bt, Authorized dealer wa LG pale Posta ya Zamani bei zao kubwa sana.
Naombeni msaada wenu wana Jamii Forums.
Asanteni.