Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Habarini wapendwa!
Mzee huyu anaitwa Peter Boniphace Charles.
Nahitaji kuwafahamu ndugu zake na mwanawe;Anayeitwa Elizabeth Peter Boniphace Charles mkazi wa Zanzibar,kazi yake askari.
Mdogo wake anaitwa William Boniphace Charles askari mkazi wa Moshi bar Gongolamboto na Dada ake mwl wa primary na ni mkazi wa kibaha kongowe anaitwa mwl Charles.Ni wasambaa kikabila.
Naomba yoyote mwenye kuwafahamu hata huyo mtoto atusaidie tafadhali.
Hata kwa mawasiliano nao
Picha ya huyu mzee ni hii hapai
Ahsanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee huyu anaitwa Peter Boniphace Charles.
Nahitaji kuwafahamu ndugu zake na mwanawe;Anayeitwa Elizabeth Peter Boniphace Charles mkazi wa Zanzibar,kazi yake askari.
Mdogo wake anaitwa William Boniphace Charles askari mkazi wa Moshi bar Gongolamboto na Dada ake mwl wa primary na ni mkazi wa kibaha kongowe anaitwa mwl Charles.Ni wasambaa kikabila.
Naomba yoyote mwenye kuwafahamu hata huyo mtoto atusaidie tafadhali.
Hata kwa mawasiliano nao
Picha ya huyu mzee ni hii hapai
Ahsanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app