Naomba msaada kuhusu ushuru wa Gari.

Naomba msaada kuhusu ushuru wa Gari.

Ua4

Member
Joined
Aug 30, 2016
Posts
32
Reaction score
54
Habari za majukumu wakuu?
Nahitaji msaada wa information. Kuna mzigo wangu nimeuagiza kutoka huko ugaibuni. Sema huu mzigo una utata kidogo.
Sasa nilikuwa nahitaji kama ningepata afisa wa TRA anisaidie japo mawazo tu ili niokoke kwenye hili janga. Maana naona ni kama jumba bovu linataka kuniangukia.
Tafadhari kama huyo afisa hatajali aje PM aniokoe hata kwa mawazo tu.
Mzigo wenyewe ni gari.
Shukrani sana wakuu.
 
Habari za majukumu wakuu?
Nahitaji msaada wa information. Nimekuwa nikiishi nchi fulani ya Africa kwa miaka minne, sasa natarajia kurejea nyumbani( Tanzania). Nina gari langu amabalo nilikuwa nikilitumia kama miaka miwili hivi, nataka kurudi nalo home. Maana kuliuza kwa haraka sijapata mteja mzuri wa walau kurudisha hela yangu hata kiasi kidogo cha kuridhisha.
Nasikia kuna kamsamaha kidogo kwa Returning citizen, sema sijui mambo yanakuwaje, naomba kama kuna mkuu yeyote humu ndani anaweza kunisaidia information za uhakika.
Au kama labda naweza kupata mawasiliano ya mtu ambae anaweza kunisaidia kujua huo msamaha unakuwaje au labda kodi inakuwa ile ile ya kama gari lililoagizwa Japan?.
Natanguliza shukrani kwa msaada wanu.
Hiace Wagon, Ya 2001. Seat 9 passenger + 1 dereva, jumla ni viti 10.


Swali la msingi watakujibu wataalam wanakuja

Mimi ngoja nishangae jambo hapa!!

Kumbe Hiace huja na seat 10 halafu tunashonwa abiria 18 wa kukaa na kusimama 10!!!
 
Back
Top Bottom