wa hapa hapa
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 281
- 150
Habari wadau, naomba msaada wa tiba kwa vifaranga wangu (SASSO) ambao kesho watatimiza mwezi tangu niwachukue.
Mwanzoni walikuwa wanaendelea vizuri lakini baada ya wiki mbili walianza kusumbumbuliwa na miguu(Wanapepesuka) baada ya siku kadhaa wanakufa.
Nimejaribu kuwapa dawa ya Taiphod na vitamins lakini bado tatizo linaendelea. Kuna wengine wakijisaidia kinyesi kinakuwa na rangi ya Ugoro/Kahawia.
Mwenye kujua tiba anisaidie.
Mwanzoni walikuwa wanaendelea vizuri lakini baada ya wiki mbili walianza kusumbumbuliwa na miguu(Wanapepesuka) baada ya siku kadhaa wanakufa.
Nimejaribu kuwapa dawa ya Taiphod na vitamins lakini bado tatizo linaendelea. Kuna wengine wakijisaidia kinyesi kinakuwa na rangi ya Ugoro/Kahawia.
Mwenye kujua tiba anisaidie.