ndugu zangu naombeni kujuzwa juu ya size ya dish la offset(ku-dish) ili niweze kupata eutalsat 8 west a , amos 5 , thaicom 5 nawakilisha nipo Dar-Es-Salaam,eneo la Chanika,Buyuni
Nami naomba msaada
Niko na dish la dstv ku band na iko set up nz East satelite naomba setting ili niweze pata FTA
unamaanisha 3 lnb on 1 dish au separately?
maana naona kama amos 5 iko east na hiyo 8west sijui utazitega vp or less you must be an innovator
Nami naomba msaada
Niko na dish la dstv ku band na iko set up nz East satelite naomba setting ili niweze pata FTA
ndugu zangu naombeni kujuzwa juu ya size ya dish la offset(ku-dish) ili niweze kupata eutalsat 8 west a , amos 5 , thaicom 5 nawakilisha nipo Dar-Es-Salaam,eneo la Chanika,Buyuni
poteza dstv kwanza kisha ndio tuanze kukushauri kuhusu fta... je uko tayari kuachana na dstv ili upate fta.? kama hauko tayari basi.. endelea na dstv yako na fta hauta zipata ktk io angle.
Nadhani ndo maana niko hapa la sivyo usingeniona hapa kutafuta msaada, so let me see how unavyonisaidia kutatua na kuachana na dstv for good
?????????????????????????????????0765 42 99 14
?????????????????????????????????
wa tz sijui tukoje.? mtu umepewa namba ya cm alafu unajifanya haujui matumizi ya namba ya cm kweli.? afu ndounajifanya unashida ya kupata fta..? kweli.? mawasiliano yangu nimekupa kama unashida nitafute kama hauna kula bati tu haisumbui akili.
Kuna Hofu ya kuchargiwa hela nahisi hivyo labda kaogopa.
Nami naomba msaada
Niko na dish la dstv ku band na iko set up nz East satelite naomba setting ili niweze pata FTA
Kwa anae taka msaada wa kimawazo juu ya ufungaji wa madish nipo tayari kukupa elimu pia kama unahitaji huduma ya kufungiwa dishi la aina yoyote kulingana na mahitaji yako basi napatikana haswa kwa walio kanda ya ziwa mwanza,shytown msoma bukoba na nzega pia
jamii forum idumu daima imenitangaza sana through jamii forum igot a chance to perform instollation services in uganda also igot alarge number of customers within my country Tz ,kazi iliyo bola itatung'arisha wadau tunao husika na instollation service.One love to you all
kama umeacha kutumia DSTV basi ligeuze dish kuja Amos 5 utapata FTA za continental
Je risiva ileile ya dstv au unabadilisha?.