Uso wangu ni wa mafuta na hua nakua na chunusi. Tangu nipo na miaka na 13 hadi leo am 23,hua zina jaa na kupungua,pia break outs za hapa na pale ila dark spots haziachagi. Recently zimejaa sana kuliko kawaida na zinaanza kuacha dark spots.
Hospitali moja walisema ni allergy nyingine hormonal imbalance.
Nimetumia dawa lakini bado sema zmepungua tu kidogo.
Naenda miezi miwili sasa uso wangu hauna matumaini. Sina amani kazini nakosa raha hata kukutana na watu.
Nimesikia KCMC wapo vizuri,kama kuna mtu anayeweza kunipa mawasiliano ya huko naomba please.
Am ready hata kufanya surgery,nimechoka.
Hospitali moja walisema ni allergy nyingine hormonal imbalance.
Nimetumia dawa lakini bado sema zmepungua tu kidogo.
Naenda miezi miwili sasa uso wangu hauna matumaini. Sina amani kazini nakosa raha hata kukutana na watu.
Nimesikia KCMC wapo vizuri,kama kuna mtu anayeweza kunipa mawasiliano ya huko naomba please.
Am ready hata kufanya surgery,nimechoka.