Kama una pc fanya hivi. Unganisha mtandao kene pc yako, download software inaitwa ''itools''. Hakikisha ni new version. Pia hakikisha pc yako ina installed itunes software ambayo iko uptodate kabisa. Hii itasaidia kuifanya itools iweze kuoparate. Baada ya hapo hakikisha una bando la kutosha kwenye pc yako, then ingiza link itakayokufanya udownload iOS 7.1 na utaitupia kwenye desktop ukishaidownload. Sasa hapo unaweza kuinstall ios yako kwenye ipad yako kupitia software ya itools. Fungua itools software yako huku umeunganisha ipad yako kwenye pc yako thru USB, (hii itools hauhitaji kuinstall, ukiclick icon tu inafunguka), then nenda kwenye kipengele cha apps kilichopo kwenye itools, kifungue na uchukua ios software yako kutoka kwenye desktop kisha itupie kwenye apps center hiyo ambapo utaziona na software zingine zilizopo kwenye ipad yako. Ukishatupia tu ipad yako itakuprompt kukubali au kukataa new version ya IOS 7.1. Kazi ni kwako kukubali au kukataa.
But please notice.... Angalia aina ya ipad yako kwenye mtandao coz unaweza kuweka iOS ambayo haisupport na ikawa locked,pia Kama kuna vitu unataka kuwa navyo/kuvitunza kwenye ipad yako after ios installation hakikisha umevitoa na kuviweka kwnye pc yako kabla ya kufanya kamchezo haka/installation. Hii software ya Itools ndio itakupa options ya kuweza kuzitoa/export picha zako, video zako, music na application zako zilizopo kwenye ipad na kuziweka/kuzitunza kwenye pc ili uje kuziweka badae after installation kwamaana ukiziacha zitafutika zoote baada ya new iOS kuingia kwenye ipad yako. Baadae utakuja kufanya mchezo wa kuzi-import upya kwenye ipad yako after iOS installation. Kama sijaeleweka niambie nikueleweshe zaidi but am sure ukifuata maelekezo haya utafanikiwa ku-update iOS ya ipad yako kwa njia rahisi zaidi kuliko ile ya kupitia ipad yenyewe ambayo imekuwa ukisumbua watu wengi kwenye hatua za mwisho kabisa due to our local networks ambazo ni za kijangili/wizi tu.
Kila la kheri mkuu ukitaka na njia nyingine niambie pia nitakupa.