Fanya mpango mwakani uende Engineering DIT au ATC
Kwa hayo matokeo yako hukuwa na vigezo mwaka huu?
Anyway, inaonekana unapenda sayansi ila kwa Tanzania ya sasa, sijui mbeleni kutakuaje sikushauri ukasome engineering chuo ni kazi ngumu ambayo haiendani na return utakazopata na kujiajiri pia ni ngumu
Pengine ungejaribu kusomea IT kama unapendezwa nayo, ni nzuri na nisekta inayokua kwa kasi, na kama wewe unapenda na unaweza kujiajiri ukijituma..kila la kheri
Mkuu wewe ni engineering tu. Ulisoma shule maalum ya ufundi. Kwa ufaulu wako kila diploma ya engineering unasoma. Kazi kwako kujipanga. Tafta pesa soma mwakani . Mwaka huu samehe tu mkuu.
aloket kabisa icho chuo ili isimpe tabu kufuatilia na je kwa huu mwaka kuna chuo ambacho kina fanya direct kwel udahiliTatufa vyuo vya ardhi diploma yake hufi njaa town utakuja kukumbuka maneno yangu hasa masuala ya upimaji ardhi.
Soma diploma ya engineering achana na mambo ya kurudia mitihani hasa ungesoma mambo yanayohusiana na ardhi diploma yake inamarket kuliko degree ya public administration au human resource.
Kwa maelezo hayo ada utalipa kweli?
Kwanini usijaribu tena kurudia A level?
ada ya diploma ni ndefu sana kijana wangu.
Huna sifa vipi sasa wakati matokeo yako yapo ktk minimum requirements?nadhani sikuwa na sifa ndugu.Nashukuru kwa ushauri wako.
Miaka 6. Na unadhani mtu wa diploma akitoka hawezi kazi au? Huyo miakka mitatu tu anaenda kutafuta ajira.yah kak una safar ndefu sana miaka saba kuikuta degree ila yote mipango ya mungu
Ualimu wa nini sasa mbona kama umekata tamaa?hata ualimu nitasomea ingawa ni level ya primary!no way!
Mwache asome uzuri apate vya govt tu. Akitoka diploma akipata ajira atajisomesha hata bachelor. Kurudia ni kumpotezea muda kumbuka umri unakwenda. Na lengo lako kumwambia asome advance tena ili aje apate mkopo? Hivi wewe huoni maswala ya kitaifa? Wanafunzi wangapi wamekosa mikopo na sifa wanazo? Mimi naomba atumie busara kujitathmini upya. Ila azingatie muda. Miaka inayooyoma kwelikweli.Kwa maelezo hayo ada utalipa kweli?
Kwanini usijaribu tena kurudia A level?
ada ya diploma ni ndefu sana kijana wangu.
Wewe sasa hivi tafuta pesa uje usome engineering diploma.tena nenda mechanical. Serikali yetu haiitaji walimu ....kwanini unajitafutia maisha ya tabu kila siku?A-level kwa sayansi ni gharama ingawa si kama diploma
mfano,Organic Chemistry gharama yake inafikia 45,000
Inorganic Chemistry inafikia mpaka 35,000.
Hali ni ngumu pande zote
Lakini laiti kama Diploma maalum ya Ualimu itakuwepo mwaka ujao,nitaomba huko kwa sababu nasikia kuna mkopo wa ada ingawa sina uhakika ndugu yangu.
Ni kweli unayoyasema rafiki,jambo muhimu ni kuangalia njia ipi unaweza kutokea.mikopo yenyewe shida tupu.Mwache asome uzuri apate vya govt tu. Akitoka diploma akipata ajira atajisomesha hata bachelor. Kurudia ni kumpotezea muda kumbuka umri unakwenda. Na lengo lako kumwambia asome advance tena ili aje apate mkopo? Hivi wewe huoni maswala ya kitaifa? Wanafunzi wangapi wamekosa mikopo na sifa wanazo? Mimi naomba atumie busara kujitathmini upya. Ila azingatie muda. Miaka inayooyoma kwelikweli.