naomba mnishauri ndugu zagu nifanyeje?

naomba mnishauri ndugu zagu nifanyeje?

BOYA

Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
24
Reaction score
5
mimi ni MVULANA mwenye miaka 23 ninatatizo la kushiriki tendo la ndoa binafsi (ni mwanachama mzuri sana wa CHAPUTA i mean punyeto) nashindwa kuacha nimejaribu mara nyingi kuacha nimeshindwa na sipendi niendelee na huu mchezo lakini nashindwa kujizuia imefikia hadi sahivi sijielewi kwani naweza nikaingia fb nikaonapicha ya bint yeyote tu nikaingiwa na hisia kali za kimapenzi najikuta natafuta choo au bafuni nakwenda kujimalizia huduma huko na tabia hii imepelekea nashindwa hadi kutongoza kwakuwa nakuwa na haibu sanaaa naona ni bola niendelee na kujichua nimesha jichua maranyingi mno hadi naona mabadiliko mwilini mwangu naombeni ushauli nduguzangu nifanyeje?
 
Pole kwa tatizo hilo, lakini pia hongera kwa kukiri kuwa unatatizo. Kimsingi wanaume wengi wamewahi kupitia steji ya kujichua( punyeto) katika maisha yao hasa kati ya umri wa kukua( adolescence) ila ni hali ambayo unastahili kupambana nayo maana ikizidi huwa inakua na madhara kiafya hata kukuondolea uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa 1. kukosa nguvu za kiume 2. kukosa hamu ya kufanya mapenzi na mwanamke 3. kuathirika kisaikolojia na hasa kuwa na tabia ya kutojiamini. Kimsingi ili uweze kushinda tatizo hili baada ya kuamua kwadhati kinachofuata ni kuacha kujiingiza katika mazingira yaliyokua yanakupa nafasi ya kujichua mfano kama ulikua unaangalia picha za utupu basi acha mara moja, pili unapokua unaoga usipende kuchezea chezea nyeti zako maana hua inaamsha ham oga mara moja na ksha toka bafuni maana mazingira ya uficho yanachangia sana. tatu , jifunze kutumia muda wako vizuri usijipe emple time, fanya mazoezi ili mwili uchoke ukilala usipate hisia za ajabu ajabu, jifunze kusali na jikumbushe kuwa punyeto haikubaliki kidini , mwisho kumbuka wewe ni mwanaume ukiamua kitu kwa dhati hakikisha unakifanya usikubali kushindwa utaweza kushinda tatizo hili.
 
mimi ni MVULANA mwenye miaka 23 ninatatizo la kushiriki tendo la ndoa binafsi (ni mwanachama mzuri sana wa CHAPUTA i mean punyeto) nashindwa kuacha nimejaribu mara nyingi kuacha nimeshindwa na sipendi niendelee na huu mchezo lakini nashindwa kujizuia imefikia hadi sahivi sijielewi kwani naweza nikaingia fb nikaonapicha ya bint yeyote tu nikaingiwa na hisia kali za kimapenzi najikuta natafuta choo au bafuni nakwenda kujimalizia huduma huko na tabia hii imepelekea nashindwa hadi kutongoza kwakuwa nakuwa na haibu sanaaa naona ni bola niendelee na kujichua nimesha jichua maranyingi mno hadi naona mabadiliko mwilini mwangu naombeni ushauli nduguzangu nifanyeje?

thanksl kwa ushauri mzuri umenitia moyo
 
Tumia muda wako katika kufanya mazoezi na kujikeep Bize Bro
 
Mhhh chaputa,hongereni kwa kuanzisha chama,tiba dogo mazoezi,jiepushe kuwa alone yaan jichanganye
 
Muombe Mungu pia acha mawazo na hisia mbaya jitahidi kukaa mahali pa watu wengi na kuwa busy na kitu fulani wakati wote nfano kama unapenda mpira basi jitahidi kuwa una kwenda mazoezini tafuta hata timu ya mtaan ujiunge so utakosa mda wa kupoteza bure kwan kila ukitoka mazoezin ni kula na kulala.
 
ni kweli tatizo la punyeto ni sawa na drugs inamuwia vigumu sana mfanyaji kuacha, kuna kuna matatizo matatu ya kibaiologia yanayoweza kusababishwa na tendo hili.1. kukosa hamu ya kufanya mapenzi.2. kuwa na tatizo la kuweza kudumu katika tendo au kushindwa kusimamisha kabsaa kitaalam inaitwa erectile dysfunction na 3. ni kumaliza haraka tendo kitaalam inaitwa pre mature ejaculation; haya matatizo yote yanapelekea mwanaume kukosa kujiamini na kuogopa wanawakehasa kati ya vitu tajwa hapo juu vikimtokea,na utakosa raha hata huwezi kuona kama uko kamili hili. hz ni baadhi ya athari zinaweza kukutokea endapo utaendelea kufanya hili zoezi kupita kiasi.

njia za kukabiliana na tatizo.
1.kwanza amini kwamba unaweza kuacha na kuzingatia sana mazoezi ili kukuondolea mihemko isiyo ya lazima.

2.usipende sana ku watch porn movies

3. amin mwanaume wa ukwel haishi kwa kujistarehesha kwa mkono wake mwenyewe

4. uwe mwangalifu kuna ukimwi ndg yangu. muhimu kukumbushana.

3.
 
Muombe Mungu pia acha mawazo na hisia mbaya jitahidi kukaa mahali pa watu wengi na kuwa busy na kitu fulani wakati wote nfano kama unapenda mpira basi jitahidi kuwa una kwenda mazoezini tafuta hata timu ya mtaan ujiunge so utakosa mda wa kupoteza bure kwan kila ukitoka mazoezin ni kula na kulala.

thenks
 
ni kweli tatizo la punyeto ni sawa na drugs inamuwia vigumu sana mfanyaji kuacha, kuna kuna matatizo matatu ya kibaiologia yanayoweza kusababishwa na tendo hili.1. kukosa hamu ya kufanya mapenzi.2. kuwa na tatizo la kuweza kudumu katika tendo au kushindwa kusimamisha kabsaa kitaalam inaitwa erectile dysfunction na 3. ni kumaliza haraka tendo kitaalam inaitwa pre mature ejaculation; haya matatizo yote yanapelekea mwanaume kukosa kujiamini na kuogopa wanawakehasa kati ya vitu tajwa hapo juu vikimtokea,na utakosa raha hata huwezi kuona kama uko kamili hili. hz ni baadhi ya athari zinaweza kukutokea endapo utaendelea kufanya hili zoezi kupita kiasi.

njia za kukabiliana na tatizo.
1.kwanza amini kwamba unaweza kuacha na kuzingatia sana mazoezi ili kukuondolea mihemko isiyo ya lazima.

2.usipende sana ku watch porn movies

3. amin mwanaume wa ukwel haishi kwa kujistarehesha kwa mkono wake mwenyewe

4. uwe mwangalifu kuna ukimwi ndg yangu. muhimu kukumbushana.

3.

haha thenks ndugu
 
Acha kujidharau kujiita BOYA pia uwe unakaa sana na marafiki unapiga stori za hapa na pale then kuwa busy na fanya mambo ya maana all the time
 
Pia kama unashindwa kutongoza fanya ivi:-
Nunua box 1 la kondom, then kila wiki unanunua malaya mmoja!
Nakuonea huruma sana kwa kukosa MBUNYE!
 
Tukusaidieje? Kama kuacha nyeto uwe unagonga mal.aya wa afrika sana.
 
Back
Top Bottom