karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
JINSI YA KUTAMBUA TAREHE AMBAYO MJAMZITO ANAWEZA KUJIFUNGUA
Habari za wakati huu
~Ukianza na tarehe yako ya mwisho ya hedhi toa miezi 3 halafu jumlisha siku 7
Kwa mfano:kama tarehe ya mwisho ya hedhi ilikuwa tarehe 10 mei ukitoa miezi 3 itakuwa februari 10 na ukijumlisha siku 7 itakuwa Februari 17 hivyo uwezekano wa mama kujifungua itakuwa tarehe 17 Februari
Maana kama kuna mtu anataka anichezee mchezo hivi
Habari za wakati huu
~Ukianza na tarehe yako ya mwisho ya hedhi toa miezi 3 halafu jumlisha siku 7
Kwa mfano:kama tarehe ya mwisho ya hedhi ilikuwa tarehe 10 mei ukitoa miezi 3 itakuwa februari 10 na ukijumlisha siku 7 itakuwa Februari 17 hivyo uwezekano wa mama kujifungua itakuwa tarehe 17 Februari
Maana kama kuna mtu anataka anichezee mchezo hivi