Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,609
- 6,357
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha

.
Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu.
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha


.Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu.