Naomba Mnikaribishe Jukwaani Gorgeous

Naomba Mnikaribishe Jukwaani Gorgeous

Gorgeous

Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
15
Reaction score
2
wanajukwaa hali zenu?

naimani mko poa.. mimi kama Gogreous naomba ukaribisho wenu katika hili jukwaa mashuhuri kuwa mmojawenu mana nimeona napitwa na mengi mazuri.
 
Karibu sana Gojaz.. hakikisha una moyo wa uvumilivu humu ndani.. ni nyumba nzuri sana
 
Karibu sana Gorgeous...and you look gorgeous! Enjoy and have fun....:juggle:
 
Karibu Gojaz............ naomba kuuliza hiya avatar ni picha yako halisi? Am in love with you darling. (Sorry are you he/she?)

Asante sana Aprin,

Am not a girl but not yet a women.....niko hapo katikati so natumia (she)
asante kwa kunipenda i belive with time nami ntakupenda si unajua kinadada!!!!!!!!
nahapo juu ktk avatar ni Gorgeous mwenyewe have a nice day Asprin.
 
karibu sana mrembo gojaz hapa jamvini.
ni pagumu sana na pazuri vile vile yategemea na moyo wako tu
 
Back
Top Bottom