ha ha ha muambie ukweliii, accredation ya nacte hamna pale,kaka ushakifuatilia kile chuo? wanafunzi kibao wameshahama pale chuo hakina usajili kile kua makini em fuatilia alafu uje unipe urejesho...,chuo kipo ginnery maeneo ya mandewa singida mjini barabara ya sepuka
Siamini kama chuo kama hicho hakijasajiliwa kwani chuo kikubwa sana, unayehitaji kupata usahihi wa hilo nicheki j2 mchana ntakupa majibu yote, nina raia wapo hapo chuoniMsaada Kwa Anaekifahamu chuo cha Ualimu singida nahitaji mawasiliano ya chuon pia fomu husika kwa ajili yakujiunga.
kaka ushakifuatilia kile chuo? wanafunzi kibao wameshahama pale chuo hakina usajili kile kua makini em fuatilia alafu uje unipe urejesho...,chuo kipo ginnery maeneo ya mandewa singida mjini barabara ya sepuka
sawa mkuu kila kheri ila kua makiniSiamini kama chuo kama hicho hakijasajiliwa kwani chuo kikubwa sana, unayehitaji kupata usahihi wa hilo nicheki j2 mchana ntakupa majibu yote, nina raia wapo hapo chuoni
Chuo kimesajiliwa wala usidanganywe na ambao hawajui mi kuna jamaa zangu kibao wamesoma hapo.Aliechaguliwa hapo katuma mombi kupitia nacte ndo wamemchagua, Hajui anafanyaje apate joining maana ypo mbali kidogo
Si kweli chuo kimejiliwa.kaka ushakifuatilia kile chuo? wanafunzi kibao wameshahama pale chuo hakina usajili kile kua makini em fuatilia alafu uje unipe urejesho...,chuo kipo ginnery maeneo ya mandewa singida mjini barabara ya sepuka
Chuo kimesajiliwa ndugu.kaka ushakifuatilia kile chuo? wanafunzi kibao wameshahama pale chuo hakina usajili kile kua makini em fuatilia alafu uje unipe urejesho...,chuo kipo ginnery maeneo ya mandewa singida mjini barabara ya sepuka
hii inaweza kukusaidiaMsaada Kwa Anaekifahamu chuo cha Ualimu singida nahitaji mawasiliano ya chuon pia fomu husika kwa ajili yakujiunga.