ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,711
- 57,221
Wakuu naombeni mniambie wilaya za zamani zaidi hapa nchini yaani zile kongwe ambazo labda wakoloni walizianzisha mara tu walipofika au labda sisi baada ya kupata uhuru tukazianzisha.
Kwa mtu aliyesoma shule kujua historia ni muhimu sana.Sasa hii itakusaidia nini ktk maisha yako ya kila siku?
Ukishajua ,then what?Kwa mtu aliyesoma shule kujua historia ni muhimu sana.