TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 762
Mzee wangu, heshima Nyingi kwako.. unakumbuka uliwahi kuniambia(sidhani kama uliwaambia Na wenzangu sina Hakika) kwamba Hutaki kwenda Ikulu damu ya Mtu ikimwagika.
Kwa kweli That time kwenye Uchaguzi, nchi ilikuwa imekunoga, kama kiberiti, ungewasha chaa kingelipuka kitu nchi nzima, lakini Kwa Busara Zako ukasema no, hapana kuandamana, hapana kufanya fujo, sitaki kwenda ikulu Kwa Damu ya Mtu kumwagika. Watu tukatii, tukatulia .. bara waliiba Kura ila Zanzibar sio kuiba tu Bali Kunyakua kimabavu mchana kweupe.. tukakaa kimya..
Sasa kulikoni UKUTA.. Ukuta huu si unaweza kumwaga Damu ambayo ulikataa isimwagike.. au kumwaga Damu kwenye UKUTA Ruksa ila kwenye kupigania matokeo ya sauti ya wengi Mwiko??..
Samahani Kwa kweli hapo tuu nipate ufafanuzi..
Brain yangu inashangaa vitu vingi, Kunji au maandamano huwa ni Hatua ya Mwisho Kabisa baada ya mistakabali yote ya mezani kugonga UKUTA. Kumbuka Mweshimiwa tumekuwa tukirukia tamati ya maamuzi ya Jazba kwenye kila kona. Mfano Bungeni, Bado kulikuwa Na mijadala ya kiutu kumaliza sintofahamu lakini tukarukia kufunga vinywa na kutoka nje tukimgomea binti mdogo wa miaka 39 tu ambaye alitakiwa kufunzwa na kuelekezwa.
Tumekuwa na maamuzi ya jazba ambayo sidhani kama yana Mantiki nyuma yake..ulipo kuja CHADEMA, niliamini sasa CHADEMA itasukwa itoke kwenye Uanaharakati kiwe chama kikomavu cha Siasa.. nguvu kubwa iliyoingia CHADEMA sasa itumike kujenga Chama kujiandaa kushika dola lakini naona tunarudia kwenye siasa za jazba na maandamano.. Nguvu kubwa iliyoingia CHADEMA tumeitelekeza, wengine haoo wanarudi walikotoka, Sisi tunaimba UKUTA.. UKUTA ndio Kujenga Chama?!?!tunaelekea WAPI MKUU.
Kwa kweli That time kwenye Uchaguzi, nchi ilikuwa imekunoga, kama kiberiti, ungewasha chaa kingelipuka kitu nchi nzima, lakini Kwa Busara Zako ukasema no, hapana kuandamana, hapana kufanya fujo, sitaki kwenda ikulu Kwa Damu ya Mtu kumwagika. Watu tukatii, tukatulia .. bara waliiba Kura ila Zanzibar sio kuiba tu Bali Kunyakua kimabavu mchana kweupe.. tukakaa kimya..
Sasa kulikoni UKUTA.. Ukuta huu si unaweza kumwaga Damu ambayo ulikataa isimwagike.. au kumwaga Damu kwenye UKUTA Ruksa ila kwenye kupigania matokeo ya sauti ya wengi Mwiko??..
Samahani Kwa kweli hapo tuu nipate ufafanuzi..
Brain yangu inashangaa vitu vingi, Kunji au maandamano huwa ni Hatua ya Mwisho Kabisa baada ya mistakabali yote ya mezani kugonga UKUTA. Kumbuka Mweshimiwa tumekuwa tukirukia tamati ya maamuzi ya Jazba kwenye kila kona. Mfano Bungeni, Bado kulikuwa Na mijadala ya kiutu kumaliza sintofahamu lakini tukarukia kufunga vinywa na kutoka nje tukimgomea binti mdogo wa miaka 39 tu ambaye alitakiwa kufunzwa na kuelekezwa.
Tumekuwa na maamuzi ya jazba ambayo sidhani kama yana Mantiki nyuma yake..ulipo kuja CHADEMA, niliamini sasa CHADEMA itasukwa itoke kwenye Uanaharakati kiwe chama kikomavu cha Siasa.. nguvu kubwa iliyoingia CHADEMA sasa itumike kujenga Chama kujiandaa kushika dola lakini naona tunarudia kwenye siasa za jazba na maandamano.. Nguvu kubwa iliyoingia CHADEMA tumeitelekeza, wengine haoo wanarudi walikotoka, Sisi tunaimba UKUTA.. UKUTA ndio Kujenga Chama?!?!tunaelekea WAPI MKUU.