Naomba kuuliza matokeo ya Arumeru Mashariki 2010

Naomba kuuliza matokeo ya Arumeru Mashariki 2010

Joined
Dec 5, 2011
Posts
78
Reaction score
93
Wana JF naomba mtu mwenye data kamili kuhusu washiriki na MATOKEO Yao ya ubunge (percentage) wa ARUMERU mashariki anijuze.
I know things are dynamic and can not be used solely to Predict outcome of the co
Coming election, for we who are lacking opinion poles can give a clue in this high dense forest!
 
Wana JF naomba mtu mwenye data kamili kuhusu washiriki na MATOKEO Yao ya ubunge (percentage) wa ARUMERU mashariki anijuze.
I know things are dynamic and can not be used solely to Predict outcome of the co
Coming election, for we who are lacking opinion poles can give a clue in this high dense forest!
matokeo ni haya hapa ndugu

[TABLE="class: arc90_altrows-Blue"]
[TR]
[TD="bgcolor: #b3d5e6, colspan: 4"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #b3d5e6, colspan: 4"]WILAYA YA MERU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #b3d5e6, colspan: 4"]ARUMERU MASHARIKI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #b3d5e6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #b3d5e6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #b3d5e6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #b3d5e6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] SUMARI JEREMIAH SOLOMON [/TD]
[TD="width: 20%"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%"]34,661[/TD]
[TD="width: 15%"]62.23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSHUA SAMWEL NASARI [/TD]
[TD="width: 20%"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%"]19,123[/TD]
[TD="width: 15%"]34.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOHN YESAYA PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%"]265[/TD]
[TD="width: 15%"]0.48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LINDA PENIELI BANA [/TD]
[TD="width: 20%"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%"]176[/TD]
[TD="width: 15%"]0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] FANUEL GABRIEL PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
TLP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"]0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHARLES MOSES MSUYA [/TD]
[TD="width: 20%"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"]0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 5%"] [/TD]
[TD="width: 15%"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 20%"]1,297[/TD]
[TD="width: 15%"] 2.33 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] 55,698[/TD]
[TD="width: 15%"] 100 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 5%"] [/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
haya fanya statistical analysis uangalie kama kuna correlation kati ya 2010 na 2012 utupe jibu nani ataibuka mbunge
 
matokeo ni haya hapa ndugu

[TABLE="class: arc90_altrows-Blue"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA MERU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUMERU MASHARIKI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidate
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] SUMARI JEREMIAH SOLOMON
[/TD]
[TD="width: 20%"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%"]34,661
[/TD]
[TD="width: 15%"]62.23
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSHUA SAMWEL NASARI
[/TD]
[TD="width: 20%"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%"]19,123
[/TD]
[TD="width: 15%"]34.33
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOHN YESAYA PALLANGYO
[/TD]
[TD="width: 20%"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%"]265
[/TD]
[TD="width: 15%"]0.48
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LINDA PENIELI BANA
[/TD]
[TD="width: 20%"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%"]176
[/TD]
[TD="width: 15%"]0.32
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] FANUEL GABRIEL PALLANGYO
[/TD]
[TD="width: 20%"]
TLP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88
[/TD]
[TD="width: 15%"]0.16
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHARLES MOSES MSUYA
[/TD]
[TD="width: 20%"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88
[/TD]
[TD="width: 15%"]0.16
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES
[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"]1,297
[/TD]
[TD="width: 15%"] 2.33
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS
[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"] 55,698
[/TD]
[TD="width: 15%"] 100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
haya fanya statistical analysis uangalie kama kuna correlation kati ya 2010 na 2012 utupe jibu nani ataibuka mbunge

It is a good chance for CHADEMA.
 
Mbona cuf wakikua na mtaj igunga na wakaambulia kura 2000,au wapigakura wao walikufa?kura sio kitu cha kuongezea upepo hua unabadilika,uzin simliona wenyewe?bila nasar siend meru kukampen God bariki cdm
 
Mchuano utakuwa mgumu sana, cha msingi chadema kulinda kura zake tofauti ya kura 15000+ ni nyingi sana ninahitajika kazi ya ziada hapa ndipo naona umuhimu wa feasibility study.
 
Naomba kujuzwa Arumeru ina kata na vijiji vingapi.
 
Mchuano utakuwa mgumu sana, cha msingi chadema kulinda kura zake tofauti ya kura 15000+ ni nyingi sana ninahitajika kazi ya ziada hapa ndipo naona umuhimu wa feasibility study.

Ya tshs.19 milioni?
 
Naomba kujuzwa Arumeru ina kata na vijiji vingapi.
[TABLE="class: toccolours"]
[TR]
[TH="width: 100%, bgcolor: lightsteelblue, align: center"]Kata za Wilaya ya Arumeru - Tanzania[/TH]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3, align: center"]Akheri | Bangata | Bwawani | Ilkiding'a | Kikatiti | Kikwe | Kimnyaki | King'ori | Kiranyi | | Leguruki | Maji ya Chai | Makiba | Maroroni | Mateves | Mbuguni | Mlangarini | Moivo | Moshono | Murieti | Musa | Mwandeti | Nduruma | Ngarenanyuki | Nkoanrua | Nkoaranga | Nkoarisambu | Oldonyosambu | Oljoro | Olkokola | Oltroto | Oltrumet | Poli | Singisi | Sokoni II | Songoro | Usa River
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Ccm 34661 62.23%
chadema 19123 34.33%
tlp
cuf

MATOKEO YA TUME HAYAKUWA SAHIHI: JOSHUA 27000 NA SUMARI 34000.

matokeo ya tume hayakuwa sahihi kwa maana hayajafanyiwa marekebisho kwa maana alipoulizwa yeye mwenyewe joshua alisema amepata kura 27000 na ushee kwahiyo hayo matokeo ya kutoka kwenye tume ya uchaguzi hayakuwa sahihi kwahiyo hayawezi kuwa kipimo kizuri cha kupimia. joshua alitoa takwimu hizo siku alipokuwa akichanguwa pesa za kugombea kwenye hoteli moja huko Arusha.
 
MATOKEO YA TUME HAYAKUWA SAHIHI: JOSHUA 27000 NA SUMARI 34000.

matokeo ya tume hayakuwa sahihi kwa maana hayajafanyiwa marekebisho kwa maana alipoulizwa yeye mwenyewe joshua alisema amepata kura 27000 na ushee kwahiyo hayo matokeo ya kutoka kwenye tume ya uchaguzi hayakuwa sahihi kwahiyo hayawezi kuwa kipimo kizuri cha kupimia. joshua alitoa takwimu hizo siku alipokuwa akichanguwa pesa za kugombea kwenye hoteli moja huko Arusha.

Siyo sawa kwani zinazotambulika ni ambazo zimetolewa na yume ya uchaguzi cha msingi nguvu uliyotumika kulinda kura Arusha inapaswa itumike Arumeru.
 
Safari hii watajumulisha na za CUF, Jahazi asilia na UPDP angalau kupunguza gap la kura 15,538 za mwaka 2010 pamoja na SUMARI kutopiga kampeni.

Huu uchaguzi utakuwa mgumu sana CDM haitakiwi kuubeza hata kidogo
 
Siyo sawa kwani zinazotambulika ni ambazo zimetolewa na yume ya uchaguzi cha msingi nguvu uliyotumika kulinda kura Arusha inapaswa itumike Arumeru.
Kumbuka matokeo yalikuwepo kwenye tume ya uchaguzi mengi si sahihi hata tume yenyewe imekuwa ikiyarekebisha kulingana na taarifa wanazopokea mfano ni yale ya zanzibar yaliyoonyesha chadema imeshinda kwenye moja ya majimbo ya huko lakini yalikuwa ni makosa lakini ninachojaribu kukisema ni kwa mujibu wa joshua mwenyewe kwa wale wanaofuatilia matukio watakuwa wamesikia haya ninayoyasema alipohojiwa kuhusu kugombea tena akasema kuwa ktk uchaguzi wa kwanza alipata kura zaidi ya 27000.
 
Back
Top Bottom