donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Nimeona Mh. Dokta Magufuli ametengua position mbalimbali kama RC,RAS na DED. Amemteua sajini taji (staff Sergeant ) Mayeka kua mkuu wa wilaya ya Chunya.
Sasa najiuliza kwamba je, mkuu wa majeshi akienda wilayani Chunya kuonana na DC atapiga saluti? Hapo naomba kueleweshwa.
Sasa najiuliza kwamba je, mkuu wa majeshi akienda wilayani Chunya kuonana na DC atapiga saluti? Hapo naomba kueleweshwa.