madereva wa daladala za mitaani kwetu asilimia kubwa hawajafikia umri huo hapo inakuwaje? ofisi nyingi watu huwa wanakwenda kuomba kazi ya udereva wakiwa wanaleseni tu wala hawana magari hapo unasemaje! ubaguzi wa aina yoyote ukiwemo ubaguzi wa kijinsia ni kosa kubwa na linakuwa linakiuka katiba unataka kunambia katiba ya hapa kwetu tanzania inajipinga kiasi hicho!. jambo la muhimu hapa ni kumsaidia muuliza swali, lakini siyo kuandika Frustration zetu hapa!