Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Kuna picha imeleta shida sana kwa kusambazwa mtandaoni .na mtu anakutumia alafu anakwambia zoom. Ukiangalia unaweza kusema kuna kitu kilikuwa kinaendelea.
Picha namba Moja ukiangalia uwezi jua nini kilikuwa kinaendelea kulee upande wa pili
Picha namba mbili ,huo ndio ufafanuzi wa picha namba moja ya kilichokuwa kinaendelea.
Asanteni
Picha namba Moja ukiangalia uwezi jua nini kilikuwa kinaendelea kulee upande wa pili
Picha namba mbili ,huo ndio ufafanuzi wa picha namba moja ya kilichokuwa kinaendelea.
Asanteni