sasa nitawahoji wanajamii wenzangu, wanao sema ndio waseme sio na wanao sema sio waseme ndio.......hivi wanajamii cheo cha mtu anayeitwa katibu mkuu kiongozi kinaundwa na ibara gani ya katiba? na majukumu yake ni yapi? baada ya kutoa hoja hiyo ambayo nahisi wnajamii wengi mtaichangia sasa naomba nitoe taarifa kwamba pamoja na mbwembwe zote za wabunge mh. nanii amepokelewa kwa kishindo tena ofisin...