HeheheMuwe mnashiba kwanza ili mpate nguvu kabla ya kuandika nyuzi
Bah... Bwana wewe!! Mwandu nacho ni kitu cha kun' nyima NTU?Mwaka jana nilikuwa Masasi mtwara.
Wale jamaa ni wakarimu ila watata mno.
Imagine jamaa wanakuomba kukushukuru.
Utasikia " NAOMBA KUSHUKULU."