Naomba kusaidiwa

Naomba kusaidiwa

gyeetitus

Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
86
Reaction score
39
Habari wana jamii forum.naomba kuuliza kama kuna yeyoye anaijua application ya kuedit picha kama hii
Screenshot_2018-02-01-09-36-10.png
.inaitwaje naipenda sana hii
 
Hivi ningekuwa sipo ningekuwa natiririka na kuserereka humu hadi hivi sasa? au ulidhani labda na Mimi hadi leo nimetimiza Siku 73 za kutoonekana kila pembe ya nchi ya Tanzania?
Huenda account yako ikawa Iko chini ya uangalizi wa wasiojulikana mkuu, maana jamaa yangu aliwekwa korokoroni jamaa wakachukua simu wakaendelea kuchat na watu wake wa Karibu km kawaida bila wao kujua kuwa ndg Yao yupo shimoni safe house.
 
Huenda account yako ikawa Iko chini ya uangalizi wa wasiojulikana mkuu, maana jamaa yangu aliwekwa korokoroni jamaa wakachukua simu wakaendelea kuchat na watu wake wa Karibu km kawaida bila wao kujua kuwa ndg Yao yupo shimoni safe house.

Hivi ' Mafia ' na ' Fundi ' wa michezo yote ya hatari na anayejua ' mitego ' yote anaweza kuwekwa Korokoroni Kizembe?
 
Back
Top Bottom