jamani naomba nieleweshwe kuhusu tatizo la kuwa na chunusi usoni kunasababishwa na nini? na je madai yakuwa nikwasababu ya kutojishughulisha na mapenzi ni ya kweli? nini tiba yake?
mm madai ya kutojishughulisha na mapenzi sio ya kweli,sababu pia ziko nyingi na tofauti, kuna wengine nyuso zao zina mafuta mengi, wengine kuchanganyachanganya cream etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.