Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,851
- 3,209
Habari za usiku huu wakubwa.
Aisee mpaka naamua kuandika uzi usiku huu ni kwamba mambo yamenifika shingoni.
Nina kipindi cha kama wiki mbili au tatu mfululizo kila nikilala naota ndoto nikipambana either na mnyama mkubwa(tembo, nyati au simba), binadamu mmoja mwenye weledi wa juu kabisa, watu wengi(sio chini ya wanne na hawazidi kumi), mbaya zaidi hapa nilipoamka kuandika uzi huu nimeota nipo msibani ila marehem kaamka na kuanza kunikimbiza akiwa na panga kubwaa mkononi.
Katika scenario zote hizo nimekuwa nikishinda ila kwa mbinde sana. Mwanzo nilichukulia kawaida ila sasa hali inanizidia katika ndoto najikuta napambana mpaka nikiamka nahisi kama nilikuwa napigana kweli.
Naomba mwenye kuelewa ndoto za namna hii zina maana gani anifumbue macho.
Natanguliza shukrani.
Aisee mpaka naamua kuandika uzi usiku huu ni kwamba mambo yamenifika shingoni.
Nina kipindi cha kama wiki mbili au tatu mfululizo kila nikilala naota ndoto nikipambana either na mnyama mkubwa(tembo, nyati au simba), binadamu mmoja mwenye weledi wa juu kabisa, watu wengi(sio chini ya wanne na hawazidi kumi), mbaya zaidi hapa nilipoamka kuandika uzi huu nimeota nipo msibani ila marehem kaamka na kuanza kunikimbiza akiwa na panga kubwaa mkononi.
Katika scenario zote hizo nimekuwa nikishinda ila kwa mbinde sana. Mwanzo nilichukulia kawaida ila sasa hali inanizidia katika ndoto najikuta napambana mpaka nikiamka nahisi kama nilikuwa napigana kweli.
Naomba mwenye kuelewa ndoto za namna hii zina maana gani anifumbue macho.
Natanguliza shukrani.