Naomba kupata tofauti za watu hawa

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
Wakuu, habari zenu.
Naomba kufahamu, ni zipi tofauti kuu, za kielimu, za kiutendaji, za kiufahamu wa mambo mbalimbali nk zilizopo kati ya makatibu wakuu wa vyama vikuu vitatu vya siasa Tanzania.
Maalim Seif (CUF), Mzee Makamba(CCM) na Wilbroad Slaa (CHADEMA)
 
Na Makamba unamlinganisha kwa lipi na hao? Namsifu tu Mzee Makamba kwa malezi. Watoto wake wote wamesoma vizuri; wana maisha.
 
Wote wamesoma, tofauti Makamba ni mwanajeshi (Luteni mstaafu) wakati wenzake ni raia wa kawaida
 
Na Makamba unamlinganisha kwa lipi na hao? Namsifu tu Mzee Makamba kwa malezi. Watoto wake wote wamesoma vizuri; wana maisha.

yeye je? si ana maisha pia? Inamaanaamesoma vizuri? Na vip kwenye ufahamu wa mambo na uwezo wa kiutendaji?
 
mzittokabwela, angalia hapa chini:

Maalim Seif (CUF) - Has a vision to steer his country people to prosperity leave alone his patrism.

Mzee Makamba (CCM) - Mnafiki hadi kwenye nafsi yake. Mwoga wa njaa hadi analamba miguu ya mafisadi (ni pm nikupe mengi hapa).

Wilbroad Slaa (Chadema) - Has a high caliber and integrity. Has super leadership quality that I admire..
 
mzittokabwela, angalia hapa chini:

Maalim Seif (CUF) - Has a vision to steer his country people to prosperity leave alone his patrism.

Mzee Makamba (CCM) - Mnafiki hadi kwenye nafsi yake. Mwoga wa njaa hadi analamba miguu ya mafisadi (ni pm nikupe mengi hapa).

Wilbroad Slaa (Chadema) - Has a high caliber and integrity. Has super leadership quality that I admire..

Why aku Pm, wakati watu wote tungependa tupate hizo info?
Je JF Is no longer a place where people can talk freely and air their views?
 
Back
Top Bottom