Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 354
Habari wakuu,
Niliwahi kuomba ushauri kuhusu eneo lipi niende kati ya TUKUYU au KYELA wadau wakanishauri niende kuishi eneo moja linaitwa Mwakaleli.
Hivo nilikua naomba kama unaishi Mwakaleli au una mtu eneo hilo ambaye anaweza kuwa mwenyeji wangu tuwasiliane PM.
Niliwahi kuomba ushauri kuhusu eneo lipi niende kati ya TUKUYU au KYELA wadau wakanishauri niende kuishi eneo moja linaitwa Mwakaleli.
Hivo nilikua naomba kama unaishi Mwakaleli au una mtu eneo hilo ambaye anaweza kuwa mwenyeji wangu tuwasiliane PM.