Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,678
- 698,714
- Thread starter
- #141
Hapa ni kipindi ambapo kijana anaanza kujitambua na angependa ajinasibu na kaliba ya watu tofauti..akipenda aonekane naye ni mtu katika watu (hii huendelea mpaka ukubwani)Asante mkuu ila no.1 haiba(personality) unaweza kuelezea zaidi maana ndipo penye mzizi hapa
Ni kipindi hiki anapoanza kuvutiwa na hisia nyingi za mapenzi na ikitokea akampata mpenzi utaona mabadiliko makubwa sana
Zamani aliweza kutoka vyovyote vile lakini sasa ataoga atajipodoa atachagua nguo nzuri na safi... (mitindo mpya ya nguo nywele viatu na mapambo vinahusika sana hapa )pata picha kama akikosa chochote atajisikiaje!