Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Asante mkuu ila no.1 haiba(personality) unaweza kuelezea zaidi maana ndipo penye mzizi hapa
Hapa ni kipindi ambapo kijana anaanza kujitambua na angependa ajinasibu na kaliba ya watu tofauti..akipenda aonekane naye ni mtu katika watu (hii huendelea mpaka ukubwani)
Ni kipindi hiki anapoanza kuvutiwa na hisia nyingi za mapenzi na ikitokea akampata mpenzi utaona mabadiliko makubwa sana
Zamani aliweza kutoka vyovyote vile lakini sasa ataoga atajipodoa atachagua nguo nzuri na safi... (mitindo mpya ya nguo nywele viatu na mapambo vinahusika sana hapa )pata picha kama akikosa chochote atajisikiaje!
 
Pamoja na yote hayo lakini hatukuambizana kitu kimoja muhimu sana kama kuna yeyote mwenye tatizo la kweli la weak erection na premature ejeculation
Hii kitu ni kama rehab na inasaidia magonjwa mengi sana ...ukiingia JF doctor utaipata lakini kwakuwa najua si wote wanaofika kule nimeona ninyofoe kipande nilete huku
Nunua asali halisi lita moja
Nusu kilo ya vitunguu saumu
Na ndimu za kutosha
Changanya vijiko visivyozidi vitano kwenye maji robo lita na kijiko kimoja kikubwa cha kitunguu saumu kilichosagwa na nusu kipande cha ndimu kisha kunywa
Waweza kunywa mara mbili au moja kwa siku...hii ni rehab kwa hiyo haina ukomo wa dozi unaweza kuendelea kwa muda mrefu lakini kwa kupunguza kipimo
Ni msaada mkubwa sana kwenye kutanua misuli na mishipa iliyosinyaa au dhaifu hivyo kurahisisha damu kupita kwa uhuru na hewa ya kutosha
 
Pamoja na yote hayo lakini hatukuambizana kitu kimoja muhimu sana kama kuna yeyote mwenye tatizo la kweli la weak erection na premature ejeculation
Hii kitu ni kama rehab na inasaidia magonjwa mengi sana ...ukiingia JF doctor utaipata lakini kwakuwa najua si wote wanaofika kule nimeona ninyofoe kipande nilete huku
Nunua asali halisi lita moja
Nusu kilo ya vitunguu saumu
Na ndimu za kutosha
Changanya vijiko visivyozidi vitano kwenye maji robo lita na kijiko kimoja kikubwa cha kitunguu saumu kilichosagwa na nusu kipande cha ndimu kisha kunywa
Waweza kunywa mara mbili au moja kwa siku...hii ni rehab kwa hiyo haina ukomo wa dozi unaweza kuendelea kwa muda mrefu lakini kwa kupunguza kipimo
Ni msaada mkubwa sana kwenye kutanua misuli na mishipa iliyosinyaa au dhaifu hivyo kurahisisha damu kupita kwa uhuru na hewa ya kutosha
Samahani! Mkuu nishibishe vyema kuhusu huo mchanganyiko! Asali naweka kiasi gani?
 
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia.

Kwanza lazima niwapongeze kwa uamuzi wenu wa hiari wa kuachana au kutoka kwenye mitandao mingine isiyo na faida wala tija na kuja kujiunga JF(JamiiForums) penye kisima cha maarifa, ujuzi na hata ushauri.

Niwapongeze pia wengi wenu kwa kuwa wawazi kwa yale mnayopitia, wengi wenu hamfahamu kuwa ni sehemu ya makuzi hivyo kujaa hofu na woga mwingi hasa kwenye maeneo haya;

1. Haiba - hapa kila mmoja anajitahidi awezavyo ili aonekane wa kisasa kwa mavazi lugha na hata mikogo mingineyo, kukosa baadhi ya hivyo vitu husababisha maumivu makubwa sana bila kutambua kuwa wakati wako wa kupata bado

2. Ukakamavu/confidence ya kuongea na hadhira au jinsia tofauti, hapa ni kimbembe, wengi hujichukia na kujistukia na hivyo kusababisha kujitenga na jamii muda mwingi kwa kudhani wengine wanajiona bora au ni mahiri kuliko wao! Hiki ni kipindi tu na kitapita lakini siri ya kuongea na hadhira ni kutowaangalia watu machoni bali kuwaangalia juu ya macho yao kwenye paji la uso.

3. Mahusiano kipengele hiki ni muhimu sana na hapa namaanisha kwenye ishu nzima ya kufanya mapenzi. Asikudanganye mtu, mapenzi utayajua baada ya kuvuka miaka 30, hapo utakuwa umewazoea na kuwafahamu wanawake na utakuwa huna hofu tena. wengi sana hapa wanalalamika kukosa nguvu au kumaliza haraka hii yote inaletwa na hofu na mara nyingi kudate mpenzi ambaye tayari keshakutana na wataalam, usitegemee kamwe katika miaka yako 26 umridhishe mwanamke wa 18-23 atakuwa anakuibia tuu.

2f86b25967a46f4e7000116a585bef02.jpg


Mabinti wengi below 25 wapenzi wao ni 35+years. Hapo huwezi weka ligi.
Kinachowatisha wengi ni story za wanawake kufikishwa kileleni au kupiga show 30 nonstop wakati wewe dak5 nyingi. Usihofu, muda wako bado, wewe bado mchanga hujakomaa.

Lakini vile vile kuna wakati maungo yako huhitaji mapumziko. Hii hutokea yenyewe automatically, ndio maana kuna wakati unakuwa na ashiki sana na kuna wakati unakuwa kama hanithi. Usitishike, jitahidi mazoezi, epuka vyakula vya mafuta na makopo, jizuie kadiri uwezavyo kupiga punyeto labda mpaka uzidiwe sana.

7a426246fd98a6d03e3c266e7e110d6a.jpg


4. Uko kwenye kipindi cha kuingia ukubwani, kwahiyo akili ya kiutu uzima inafunguka, hii hali huja na side effects kama za mama mjamzito. Hasira za ghafla, kukata tamaa, kulia au kutamani kulia, kuzira, kujitenga, kuwa mtu wa mawazo muda mwingi ni vitu visivyoepukika.

Hapa ndipo unapojishape kuwa wewe wa kesho, kwahiyo jitahidi sana yanapokutokea haya usiyaendekeze, vijana wengi huwin na kushindwa hapa. Ukiyapuuza na kusonga mbele mafanikio yako yataanzia hapo, utayachukulia kuwa ndio sehemu ya maisha yako, kushindwa kwako kutaanzia hapo.

Kama bado uko below 30 usiangalie mwili ulionao bali jipange kwa kuwa hii ndio hatua muhimu ya kuwa wewe wa kesho. Mustakabali wako umeubeba mwenyewe.

decdd0ee21928acc5bbf4b8eefe0b405.gif
Broo nakukubali sana!!asnte kwa mushauri mkuu!!barikiwa sana baba!!
 
Hata mtu akiwa na utaratib wa kuchanganya vitunguu saum kwenye chakula/mboga huwa inasaidia sana
 
Back
Top Bottom