Coster1
Member
- Jul 19, 2016
- 48
- 11
Natanguliza heshima.
Naomba kufahamu yafuatayo huko chuoni.
Nimechaguliwa sua ila wasisi wangu ni hivi.
1:boom inakuaje kabla sjapata mkopo na je nkikosa mkopo boom ntapata?
2:inakuwaje kureport chuo kabla ya mkopo kwa wale wa sua naomba muongozo?
3:nahitaji gharama gani za kuishi chuo mpaka mkopo utakapotoka?
4:je mkopo wa HESLB unajumisha vitu gani?
Nawasilisha wakuu.
Naomba kufahamu yafuatayo huko chuoni.
Nimechaguliwa sua ila wasisi wangu ni hivi.
1:boom inakuaje kabla sjapata mkopo na je nkikosa mkopo boom ntapata?
2:inakuwaje kureport chuo kabla ya mkopo kwa wale wa sua naomba muongozo?
3:nahitaji gharama gani za kuishi chuo mpaka mkopo utakapotoka?
4:je mkopo wa HESLB unajumisha vitu gani?
Nawasilisha wakuu.