Yurri
Senior Member
- Apr 29, 2015
- 176
- 227
Nina ufinyu wa uelewa juu ya chama hiki kipya cha walimu CHAKUHAWATA ( Chama cha kutetea Haki za Walimu Tanzania) ambapo ni chama mwenza cha CWT.
Natamani kujuzwa.
Mosi: katiba yao inapatikanaje?
Pili: Nafahamu ni chama kipya, sio rahisi Sana kuwa na ofisi kila wilaya kwa sasa, vipi kuhusu kimikoa, kikanda na hata kitaifa?
Tatu: wanatumia tovuti au wavuti ipi, (Media) njia ya kukijua chama husika
Nne: Nimepewa taarifa kuwa makato yao ni kwa amount, yaani Tsh.5,000/= na sio kwa % kama ilivo kwa CWT (Jambo hili linalowavutia Walimu wengi kujiunga na chama hiki kipya) Je, makato hayo yapo kikatiba au ni njia tu wakuvutia wateja (walimu) , baada ya kujiunga warudi kwenye mfumo wa kinyonyaji kama wa CWT wakukata kwa asilimia?
Tano: mwongozo wa namna ya kujiunga na chama hiki upoje?
Nawasilisha.
Asante!
Natamani kujuzwa.
Mosi: katiba yao inapatikanaje?
Pili: Nafahamu ni chama kipya, sio rahisi Sana kuwa na ofisi kila wilaya kwa sasa, vipi kuhusu kimikoa, kikanda na hata kitaifa?
Tatu: wanatumia tovuti au wavuti ipi, (Media) njia ya kukijua chama husika
Nne: Nimepewa taarifa kuwa makato yao ni kwa amount, yaani Tsh.5,000/= na sio kwa % kama ilivo kwa CWT (Jambo hili linalowavutia Walimu wengi kujiunga na chama hiki kipya) Je, makato hayo yapo kikatiba au ni njia tu wakuvutia wateja (walimu) , baada ya kujiunga warudi kwenye mfumo wa kinyonyaji kama wa CWT wakukata kwa asilimia?
Tano: mwongozo wa namna ya kujiunga na chama hiki upoje?
Nawasilisha.
Asante!