Naomba kujuzwa vituo vya QT Mwanza

Naomba kujuzwa vituo vya QT Mwanza

newblood

Member
Joined
Oct 24, 2017
Posts
5
Reaction score
1
Naomba kusaidiwa wana JF kwa wanaokaaa mkoa wa Mwanza elimu ya QT hutolewa mahala gani na vituo vipi?
 
Naomba kusaidiwa wana JF kwa wanaokaaa mkoa wa Mwanza elimu ya QT hutolewa mahala gani na vituo vipi?
1.Mwanza expert
2.mweac
3.makene education center
4.kingine sikijui jina ila kipo opposite na nyanza primary
(Ukiwa unatoka upande wa kuleana ...mkono wa kushoto kuna show room ya magari... Mbele yake red Cross then kuna chuo,baada ya apo io Center ya Qt ndo unafikia
 
1.Mwanza expert
2.mweac
3.makene education center
4.kingine sikijui jina ila kipo opposite na nyanza primary
(Ukiwa unatoka upande wa kuleana ...mkono wa kushoto kuna show room ya magari... Mbele yake red Cross then kuna chuo,baada ya apo io Center ya Qt ndo unafikia
Makene education center kiko mwanza sehem gan
 
nenda mwanza expert kipo karibia na ofisi ya mkuu wa mkoa Kituo kininaitwa clinic ukiwa unatokea town kwenda airport
 
Back
Top Bottom