Habari za mida wakubwa, nataka niende makumbusho ya taifa ila sipafahamu. Kuna mtu ameniambia iko Mwenge pale Makumbusho, mwingine kasema iko Posta, sasa wananichanganya nashindwa kujua wapi ni wapi. Pliz kwa unayefahamu naomba uniambie ni wapi na unipe direction.