Mie naomba kuelimishwa ni kwa nini gari ikipigwa rangi linakuwa kosa?Mkuu kama ndiyo unataka kuinunua hiyo gari jitafakari mara mbili...
Sio kosa mkuu,ila inapoteza ile nuru original iliyokuja nayo hivyo inapoteza mvuto kipindi unapotaka kufanya biashara.Mie naomba kuelimishwa ni kwa nini gari ikipigwa rangi linakuwa kosa?
😂😂😂😂😂😂Vigari vidogo dogo hivi huwa sina mzuka navyo kabisa.
Gari la mwanaume ni Crown,Premier au Harrier
Ulitaka kusema Brevis bila shakaVigari vidogo dogo hivi huwa sina mzuka navyo kabisa.
Gari la mwanaume ni Crown,Premier au Harrier
Punguza sauti huyo anakuja atatusikia tukimcheka😂😂😂😂😂😂
Watu wanapiga rangi za bei rahisi ili auze,ukinunua baada ya muda mfupi rangi inaanza kubabuka. Rangi kiwango inafika hadi 2m sasa gari yenyewe anauza 4-5m atapiga rangi ya 2m ?Mie naomba kuelimishwa ni kwa nini gari ikipigwa rangi linakuwa kosa?
Inawezekana pia ilipata ajali ndio ikarudiwa na rangiSio kosa mkuu,ila inapoteza ile nuru original iliyokuja nayo hivyo inapoteza mvuto kipindi unapotaka kufanya biashara.
Mkuu sijui unaishi wapi ila haya uliyoyataja ni mahsusi kwa wavulana tu na sio wanaume.Vigari vidogo dogo hivi huwa sina mzuka navyo kabisa.
Gari la mwanaume ni Crown,Premier au Harrier