Skull dance
Senior Member
- Mar 11, 2021
- 169
- 339
Asante sana mkuu umenitoa ushamba kwa hiyo ni kutafuta waya wa type C to type C ndio niweze kukitumia.
Maswali mengine🤣🤣🤣🤣Huoni kuwa hiyo ni adapter mkuu ya type C?
Maswali mengine
ExactlyAsante sana mkuu umenitoa ushamba kwa hiyo ni kutafuta waya wa type C to type C ndio niweze kukitumia.
We umekitoa wapi mkuu😂Kimekaa kama kichwa cha chaja kina port ya type C ila sijajua kinakuwa kinapokea moto kutoka kwenye chaja za type C au inakuwaje? Na kikipokea huo moto kinafanyaje? Nimejaribu kukichaji na kukonect bluetooth kwenye simu yangu labda nione chochote lakini hola! Naomba usaidizi wenu wakuu.View attachment 2503684View attachment 2503685View attachment 2503686View attachment 2503688
Kimekaa kama kichwa cha chaja kina port ya type C ila sijajua kinakuwa kinapokea moto kutoka kwenye chaja za type C au inakuwaje? Na kikipokea huo moto kinafanyaje? Nimejaribu kukichaji na kukonect bluetooth kwenye simu yangu labda nione chochote lakini hola! Naomba usaidizi wenu wakuu.View attachment 2503684View attachment 2503685View attachment 2503686View attachment 2503688
Ndio mkuu nimezoea kuziona za usb port sasa nikajiuliza hii mbona inapokea kwa port ya type C sasa inatoa kwa ipi? Nikakosa jibuHuoni kuwa hiyo ni adapter mkuu ya type C?
Ni ushamba tu ndugu yangu nilidhani ni bluetooth chaja!Kwamba umeconect bluetooth
Kimesomaje??
Nikajua ni adaptor ya type c,sasa kama ina bluetooth itakuwa balaaa.
Zipoo hadi za type c kwa ios.. Ni wewe tuu yan sikuhizi mambo ni meengi😂Ndio mkuu nimezoea kuziona za usb port sasa nikajiuliza hii mbona inapokea kwa port ya type C sasa inatoa kwa ipi? Nikakosa jibu
Kuna jamaa huwa anapimapima vyuma chakavu sasa kaletewa na wadau wake akataka aniuzie.We umekitoa wapi mkuu
Maana si kuconnect Bluetooth huko😂😂😂Madhara ya kuwaruhusu wazee washike vifaa vya teknolojia
Asante mkuuni chaji kama chaji hizi za usb tu. hapo ukiwa na waya wa type c unakonect na then unachaji kifaa chako.