NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 108
Habari wanachama wa JF,
Kwa mwenye uelewa wa kitengo hiki naomba anijuze gharama za kupima kipimo cha DNA.
Kwa mwenye uelewa wa kitengo hiki naomba anijuze gharama za kupima kipimo cha DNA.
Mkuu mtoto ni wa kwako huyo usitake kuruka.Habari wanachama wa JF, kwa mwenye uelewa wa kitengo hiki naomba anijuze gharama za kupima kipimo cha DNA.
Sawa mkuu haina shidaAndaa kama laki tano hivi
Ni laki 3 kwa sample 3, ila utaratibu wake hadi ukapime ndio mgumu,lazima kuwe na sababu,kupitia taasisi kama mahakama,polisi,ustawi wa jamii,sio una pesa yako kesho unaenda eti kamata hawa pima,akili za kiafrika zinajulikana hata kwa Mungu.Andaa kama laki tano hivi
😅😃😀Inaonekana Jamaa Hataki Package, Amepata Faida Ya WatotoMbona wenzio tunalea watoto karibu 4 wa wenzetu wewe mtoto mmoja Tu umeanza kuulizia DNA
Cc braza Mzee wa kupambania aione kwenye jalada.Mbona wenzio tunalea watoto karibu 4 wa wenzetu wewe mtoto mmoja Tu umeanza kuulizia DNA
Jibu hitaji langu hayo mengine achana nayo.Achana na DNA, chapa kazi ili mambo yaendelee.
AsanteAnzia ofisi yoyote ya kata au wilaya umwone afisa ustawi wa jamii. Ndani ya wiki Moja utakuwa umeshapima