Manstone
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 511
- 310
Habari wapendwa?
Nakuja kwenu kuomba anaefahamu dawa ya maumivu ya kichwa kwani yamekuwa yananisumbua kila siku najikuta natumia painkiller kila aina lakini zinagonga mwamba huu mwaka was saba sasa kinanisumbua tu.
Nimeenda hospitali mbalimbali lakini naambiwa sina, nimepiga CT scan MRI sins tatizo lolote. Blood pressure,damu na macho vyote viko sawa.
Nikaambiwa tatizo ni kichwa cha migraines nimetumia dawa we kinapoa mda wa masaa 2 mpk 3 kinaanza tena imefika mpaka hatua sasa nakunywa dawa kichwa maumivu hayaishi kabisa.
Naombeni wmenye mawazo, dawa au ushauri anipe jamani nimechoka.
Nakuja kwenu kuomba anaefahamu dawa ya maumivu ya kichwa kwani yamekuwa yananisumbua kila siku najikuta natumia painkiller kila aina lakini zinagonga mwamba huu mwaka was saba sasa kinanisumbua tu.
Nimeenda hospitali mbalimbali lakini naambiwa sina, nimepiga CT scan MRI sins tatizo lolote. Blood pressure,damu na macho vyote viko sawa.
Nikaambiwa tatizo ni kichwa cha migraines nimetumia dawa we kinapoa mda wa masaa 2 mpk 3 kinaanza tena imefika mpaka hatua sasa nakunywa dawa kichwa maumivu hayaishi kabisa.
Naombeni wmenye mawazo, dawa au ushauri anipe jamani nimechoka.