Naomba kujua wazee wa Mfumo (B2M)

Naomba kujua wazee wa Mfumo (B2M)

Nimeupitia mkuu, na nyingine nyingi ila wengi wanaanza kuwazungumzia kwenye harakati za kuanzia mwaka 95.

Nia yangu ni kujua walianzia wapi kama mmoja mmoja na kama kundi mpaka kufikia uwezo tunaosimuliwa, waliokuja kuonesha hapo kuanzia 95
Sawa kuna uzi mwingine unamjadili mshika maaraka tangu hajaenda munduli kufundisha siasa. Sua la mmashariki na mwenzake sijui.
 
Kinachojadiliwa hapa ni wanamtandao ambao urais kwao lilikuwa swala la live or die 2005.Vinara wao walikuwa Ni Lowasa na Kikwete na ndo waliitwa boys to men.Kulikuwa na SS ,six wa standard and speed,Aman Karume ,wasomi kama. Prof. Mkandala,waandishi na nguli wa habari Kama salva Rweyemamu na king maker Rostam Aziz.Joka la Makengeza na wengineo.Lowasa na Kikwete walikutana Udsm na baada ya kumaliza chuo wote walienda kutumikia CCM.Nimechoka kuandika.
Nilitaka kukutag sema nikakusahau. Ila codes ziendelee
 
Yaani mpaka nilivyousoma huo uzi wa "wa utata wa kifo cha Dr Omary"
Humo ndani kuna Ma dstv, birthday party n.k

Ndio nimeelewa uzi huu una maana gani.

Long live JF.
Moja ya uzi bora kabisa wa jf niliowahi kusoma.. jf iishi milele..
sema siku hizi mambo ya ccm na chadema yanataka kuharibu jukwaa letu
 
Back
Top Bottom