uncle virus
Senior Member
- Dec 30, 2018
- 126
- 296
Habari Wakuu,
Naomba niende kwenye mada. Ningependa kujua asili au chimbuko la B2M. Kwa wazoefu na wakuu wa umri na uzoefu kwenye masuala ya mipango na siasa nadhan hii team sio ngeni kwenu.
Ufuatiliaji wangu wote unaishia story za mwanzo miaka ya 1994-5 wakiwa washakuwa pamoja na wakisuka mipango yao. Nahitaji kujua walianzia wapi mpaka kufika hapa.
Kwa sehemu kubwa kwa sasa wako hai so haitokuwa vibaya kujifunza mengi kutoka kwao. Especially mzee wetu aliyevumilia mengi, ningependa kujua alifikaje na alipitapita wapi mpk kufika miaka ya 95. Same na kwa Da Gama, ilikuwa kuwaje mpk kuaminiwa mapema vile pamoja na madhaifu yuliyokuja kuyaona nyakati zake? vipi kihusu hyu mmashariki au Economic Hit man wetu? Alijipenyezaje bongo mapema ile na hata kuteka sehem kubwa ya wasukuma kete?
Karibuni wakuu
Naomba niende kwenye mada. Ningependa kujua asili au chimbuko la B2M. Kwa wazoefu na wakuu wa umri na uzoefu kwenye masuala ya mipango na siasa nadhan hii team sio ngeni kwenu.
Ufuatiliaji wangu wote unaishia story za mwanzo miaka ya 1994-5 wakiwa washakuwa pamoja na wakisuka mipango yao. Nahitaji kujua walianzia wapi mpaka kufika hapa.
Kwa sehemu kubwa kwa sasa wako hai so haitokuwa vibaya kujifunza mengi kutoka kwao. Especially mzee wetu aliyevumilia mengi, ningependa kujua alifikaje na alipitapita wapi mpk kufika miaka ya 95. Same na kwa Da Gama, ilikuwa kuwaje mpk kuaminiwa mapema vile pamoja na madhaifu yuliyokuja kuyaona nyakati zake? vipi kihusu hyu mmashariki au Economic Hit man wetu? Alijipenyezaje bongo mapema ile na hata kuteka sehem kubwa ya wasukuma kete?
Karibuni wakuu