mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Watalaamu wa magari ya Toyota naomba kujua tofauti ya aina ya magari hayo toka ukubwa wa injini, ulaji wa mafuta, uwezo wa kubeba abiria, uimara wa gari na kadhalika pia bei yake kwa gari la 2009 mpaka 2014.