Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Ndugu zangu nasumbuliwa na hedhi ya muda murefu, nimejifungua miezi 6 iliyopita. Sasa hedhi ilianza kutoka takribani wiki 2 zilizopita na hadi sasa inaendelea.
Nimeenda hospital nikapewa vidonge vya kumeza na nimevitumia vidonge hivyo lakini sijaona mafanikio yeyote yale.
Tabia hii ya hedhi kutoka kwa muda mrefu imekuwa kama tabia Mara baada ya kujifungua.
Mara ya kwanza ilitoka ndani ya mwezi mzima hivi ikakata yenyewe. Nilienda kupiga ultra sound hakuna tatizo lililoonekana.
Ndugu zangu naomba msaada wenu wa kitalaam na hata tiba ili hili tatizo liniepuke.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeenda hospital nikapewa vidonge vya kumeza na nimevitumia vidonge hivyo lakini sijaona mafanikio yeyote yale.
Tabia hii ya hedhi kutoka kwa muda mrefu imekuwa kama tabia Mara baada ya kujifungua.
Mara ya kwanza ilitoka ndani ya mwezi mzima hivi ikakata yenyewe. Nilienda kupiga ultra sound hakuna tatizo lililoonekana.
Ndugu zangu naomba msaada wenu wa kitalaam na hata tiba ili hili tatizo liniepuke.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app