Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Wapendwa habari za majukumu,
Naamini kila mtu atakuwa anajua kuwa serikali ya awamu ya NNE ilinunua ndege kwa ajili ya safari za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania almaarufu "Ndege ya Rais"
Sasa tokea serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani sijaona Rais akisafiri nayo safari na hasa zile za mbali. Naomba kujua hiyo ndege iko wapi na inafanya kazi gani?!!!
Naamini kila mtu atakuwa anajua kuwa serikali ya awamu ya NNE ilinunua ndege kwa ajili ya safari za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania almaarufu "Ndege ya Rais"
Sasa tokea serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani sijaona Rais akisafiri nayo safari na hasa zile za mbali. Naomba kujua hiyo ndege iko wapi na inafanya kazi gani?!!!