Aunt Cash
Member
- Feb 3, 2019
- 88
- 97
Habarini wapendwa,
Leo naomba kuongea na wale wenzetu mliokwisha kupata kazi; ni mbinu gani mumeweza kutumia hadi mkafanikiwa, maana mimi naona kwa upande wa ajira mambo bado magumu.
Nimezunguka kila sehemu nimefka kila mahali nimetuma maombi sehemu mbalimbali lakini bado sijafanikiwa. Sasa hivi mwaka wa 3 sasa tangu nihitimu chuo lakini bado na-hustle kutafuta kazi pasipo mafanikio.
Hebu dondosha mbinu moja wapo ambayo wewe ilikuwezesha kupata kazi pengine mimi au graduate mwenzangu anayepambana kusaka ajira inaweza kumsaidia.
Leo naomba kuongea na wale wenzetu mliokwisha kupata kazi; ni mbinu gani mumeweza kutumia hadi mkafanikiwa, maana mimi naona kwa upande wa ajira mambo bado magumu.
Nimezunguka kila sehemu nimefka kila mahali nimetuma maombi sehemu mbalimbali lakini bado sijafanikiwa. Sasa hivi mwaka wa 3 sasa tangu nihitimu chuo lakini bado na-hustle kutafuta kazi pasipo mafanikio.
Hebu dondosha mbinu moja wapo ambayo wewe ilikuwezesha kupata kazi pengine mimi au graduate mwenzangu anayepambana kusaka ajira inaweza kumsaidia.