Naomba kujua kwa anaejua

Naomba kujua kwa anaejua

kutiti

Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
61
Reaction score
5
Mimi ni miongoni wa tanzania anaeumia sna nikiona mambo yalivyo kwenye nchi hii hasa jinsi rasilimali mungu alizotupa zinafavyotumika na natamani mabadiliko sana ktk nchi yangu lakini kidogo nashindwa kuelewa kama kuna dalili yoyote ya mabadiliko na nlichoamua kwa sasa ni kukuakisha siku aipiti bila kuiombea nchi yangu ila naomba kama kuna yoyote mwenye uelewa au anaeona mambo kwa jicho lingine plz naomba anijuze kuusu mabadiliko nchini kwetu na nini cha kufanya cha zaidi mungu ibariki tanzania
 
Thread hii haina afya, be very specific. Nchi imebadilika, rasilimali zinavyotumika vibaya au vizuri? rasilimali zipi? jiandae urudi ....otherwise mods mfungieni huyu.
 
Yani nchi na wananchi wake hawana direction muelekeo ili mradi siku ipite
 
Mimi ni mmoja wa watu wanaoumia sana na mauza uza ya nchi yangu! Ni Mungu tu atakayetunusuru umefanya maamuzi mema sana Mungu akulinde. Tutaangamia kwa kukosa maarifa
 
kwani ujui yanayoendelea au wewe ni mkimbizi nini,subiri opereshen kimbunga
 
Back
Top Bottom