Naomba kujua kuhusu Window update, Window upgrade na Window active

franknombo

Senior Member
Mar 30, 2019
170
160
Habari wataalamu naomba kujuzwa juu ya vitu hivyo vitatu nilivyovitaja hapo juu. Naomba kujua maana zake na tofauti zake kitalaamu.
 
Habari wataalamu naomba kujuzwa juu ya vitu hivyo vitatu nilivyovitaja hapo juu. Naomba kujua maana zake na tofauti zake kitalaamu.
Window update.
Ni marekebisho madogo au makubwa yanayoweza wekwa ndani ya window husika ili kuondoa mapungufu ya baadhi ya sehemu za hiyo window os mfano wa marekebisho haya ni Kufanya security patch yaani kuondoa baadhi bugs au error zinazohusiana na security n.k

FAIDA YAKE
#uifanya window iwe faster.

#uifanya window kuishi muda mrefu na kuhimili mikiki mikiki mbalimbali.

#uifanya window kuwa na security ya hali ya juu hasa kwa window 8,8.1 na 10.

WINDOW UPDATE...
Mara nyingi ufanyika wakati inapokuwa imeruhusiwa kufanyika na pale internet inapokuwa active.

window upgrade.
Haina tofauti sana na kubadili window lakini tofauti yake Ni kuwa yenyewe ufanyika wakati window iliyopo kwenye PC iko active na ikishafanyika basi Kuna program na files au hata previous setting zinabaki. Unaweza kutumia window creation media tool kufanya hi kitu.
KWA LUGHA NYINGINE NAIITAGA.
Non clean window installation technique/method
window active.
Hii naifahamu Kama active window yaani ni window ambayo inakuwa active wakati unafanya kazi zako hii sio operating system. mfano ukifungua Ms word ukawa unaitumia basi uko kwenye active window lakini ukiamia kwenye software nyingine basi ile Ms word inakuwa inactive window.
 
Kwenye window active hapa nadhan anaongelea window activate.

Kuna Window unapoistall kwenye pc huwa zinahitaji key zake vinginevyo haziwi activated.

So unatakiwa uwe na activator yake ili kuifanya window iwe active na kitendo cha window kutokua activated hupelekea some bugs na baadhi ya security huwa weak na hupelekea virus attack ndio maana huwa tunashauriwa kuactivate window ili iwe huru kufanya kazi zake kwa ufasaha.

Usipoactivate OS yako kuna baadhi ya software ukitaka kuziinstall zitakataa kwa sababu OS haijawa ativated.

Pia window ambayo haijawa activated kuna kipindi huwa inasumbua sumbua na rangi huwa hafifu tofauti baada ya kufanyia activated
Window update.
Ni marekebisho madogo au makubwa yanayoweza wekwa ndani ya window husika ili kuondoa mapungufu ya baadhi ya sehemu za hiyo window os mfano wa marekebisho haya ni Kufanya security patch yaani kuondoa baadhi bugs au error zinazohusiana na security n.k

FAIDA YAKE
#uifanya window iwe faster.

#uifanya window kuishi muda mrefu na kuhimili mikiki mikiki mbalimbali.

#uifanya window kuwa na security ya hali ya juu hasa kwa window 8,8.1 na 10.

WINDOW UPDATE...
Mara nyingi ufanyika wakati inapokuwa imeruhusiwa kufanyika na pale internet inapokuwa active.

window upgrade.
Haina tofauti sana na kubadili window lakini tofauti yake Ni kuwa yenyewe ufanyika wakati window iliyopo kwenye PC iko active na ikishafanyika basi Kuna program na files au hata previous setting zinabaki. Unaweza kutumia window creation media tool kufanya hi kitu.
KWA LUGHA NYINGINE NAIITAGA.
Non clean window installation technique/method
window active.
Hii naifahamu Kama active window yaani ni window ambayo inakuwa active wakati unafanya kazi zako hii sio operating system. mfano ukifungua Ms word ukawa unaitumia basi uko kwenye active window lakini ukiamia kwenye software nyingine basi ile Ms word inakuwa inactive window.
 
January 15, 2020 ndio mwisho wa Window 7, no more window update na security.
 
Kwenye window active hapa nadhan anaongelea window activate.

Kuna Window unapoistall kwenye pc huwa zinahitaji key zake vinginevyo haziwi activated.

So unatakiwa uwe na activator yake ili kuifanya window iwe active na kitendo cha window kutokua activated hupelekea some bugs na baadhi ya security huwa weak na hupelekea virus attack ndio maana huwa tunashauriwa kuactivate window ili iwe huru kufanya kazi zake kwa ufasaha.

Usipoactivate OS yako kuna baadhi ya software ukitaka kuziinstall zitakataa kwa sababu OS haijawa ativated.

Pia window ambayo haijawa activated kuna kipindi huwa inasumbua sumbua na rangi huwa hafifu tofauti baada ya kufanyia activated
ku activate window haimaanishi kuifanya iwe active kwani kuwa active kwa window ni pale unapotumia any system or application software Kama nilovyotoa mfano wa Ms word inapokuwa ikitumika unakuwa kwenye active window .

Unapotumia window activator au key unaiactivate yaani unairegister na sio kuifanya iwe window active.

Nenda kaangalie PC yenye window ambayo haikuwa activated utakuta inaprompt inayosema activate this window alafu ukiactivate itasema window is activated.

Kua active na kuwa activated kwa context ya window os ni vitu viwilo tofauti

Yaani kuwa active Ni Kama nilivyokwisha Sema na kuactivate Ni kuregister window na sio kuifanya iwe active kwani at uaiporegister bado knaweza Kufanya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom