wadadawanne
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 119
- 24
Kazi ya balozi akiwa nje ya nchi nini?? Najiuliza sana nashindwa kuelewa maana kuna balozi mmoja wa Tanzania kwenye nchi mmoja ya kiafrica kila siku kwenye kipindi cha Nipashe anaripoti taarifa zinazotokea nchini humo,, je night mwakilishi wa hicho kituo cha radio au??