MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Naona wanachelewa sana kutoa majina ya walio dahiliwa vyuo mbalimbali, sasa nilitaka kujua kama wana kazi na majukumu mengi sana kiasi cha kushindwa kukamilisha majukumu yao kwa wakati
Angalia ratiba yaoWakati upi unaohisi ni sahihi?
Kaa kimya hujui kitu