tungibwaga
Member
- Apr 1, 2012
- 51
- 11
Kuna kitabu kiliandikwa na Prof Mwandosya chenye title ya SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA DEMOKRASIA.
Nimesoma hiki kitabu mwanzo mwisho kwa ufupi ndani ya hicho kitabu Prof ameelezea hasa issue ya Uchaguzi wa Ujumbe wa NEC na njisi walivyo mpiga vita sana wana ccm wenzake 2007.Mimi nataka kujua faida za ujumbe wa NEC maana jamaa wanafanya vita KALI SANA kuwania nafsi hiyo.
Nimesoma hiki kitabu mwanzo mwisho kwa ufupi ndani ya hicho kitabu Prof ameelezea hasa issue ya Uchaguzi wa Ujumbe wa NEC na njisi walivyo mpiga vita sana wana ccm wenzake 2007.Mimi nataka kujua faida za ujumbe wa NEC maana jamaa wanafanya vita KALI SANA kuwania nafsi hiyo.