GE2025 Naomba Kujua: Hivi Rais Samia ameshawahi Kugombea ubunge na kuchaguliwa , ni wapi na Lini?

GE2025 Naomba Kujua: Hivi Rais Samia ameshawahi Kugombea ubunge na kuchaguliwa , ni wapi na Lini?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,711
Reaction score
5,641
Kwa wale wajuvi wa Siasa na Historia kiujumla, naomba kufahamu kuhusu Majimbo aliyowahi kugombea Rais Samia, na ilikuwa ni mwaka Gani, pia je aligombea kupitia Chama Gani

Nafahamu Rais Samia Amehudumu kama Waziri katika awamu mbali mbali za Uchaguzi. Pia Naomba kujua pia uzoefu uliojitokeza katika chaguzi hizo, ikiwezekana alishindana na nani na aliibuka na ushindibwa Kura Ngapi.

Wagombea wengine waliojitokeza kutoka ACT na vyama Rafiki vya CCM wengi wao hawajawahi kugombea nafasi yoyote ya ushindani kupitia uchaguzi wa wananchi, hivyo kama wataishinda itakuwa ni mara Yao ya kwanza
 
Makunduchi 2010-15, Ushindi zaidi ya 80%.


"In 2010, Suluhu sought election to the National Assembly, standing in the parliamentary constituency of Makunduchi and winning by more than 80%.[5] President Jakaya Kikwete appointed her as the Minister of State for Union Affairs."

Source 👇🏽
 
Back
Top Bottom